Sunday, May 27, 2012

KANISA LA TAG ZANZABAR LACHOMWA MOTO KATIKA VURUGU ZILIZOTOKEA USIKU WA KUAMKIA JANA






 Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) liliopo mtaa wa Kariakoo mjini Unguja limechomwa moto jana usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana

POLOSI WAKITAWANYA WANDAMANAJI



Kikosi cha Kuzuwia Fujo FFU kikizunguka kikiwa kimejihami katika maeneo ya Michenzani ambapo tayari jeshi la polisi limepiga marufuku mikusanyiko yoyote Mjini hapa

WASIWASI mkubwa umetanda kwa siku ya pili mfululizo katika mitaa ya miji ya Zanzibar baada ya askari wa jeshi la polisi kupiga mabomu ya kutoa machozi ili kuwatawanya wafuasi wa taasisi za kidini zinaozongozwa na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI).

MANDAMANO ZNZ KUZUA TAAFULANI USIKU WA KUAMKIA JANA




Maelfu wa wazanzibari wakiongozwa na Taasisi za Kiislamu na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) wakifanya matembezi ya amani katika barabara za Zanzibar na kupeleka ujumbe wao kwa viongozi wa serikali za Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Umoja wa Mataifa wakitaka Zanzibar huru ambapo baadhi ya watembeaji hao wakiongoza na Kiongozi wa Jumuiya hizo, Sheikh Farid Hadi Ahmed na viongozi wengine
Maelfu ya wazanzibari leo wamefanya maandamano amani kuishindikiza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuitisha kura ya maoni juu ya Muungano na kupeleka ujumbe kwa Umoja wa Mataifa wa kutaka Zanzibar kujitenga kama ilivyofanya Sudan ya Kusini

Friday, May 18, 2012

Image of PICHA ZINGINE HAAHAHAH

Nilivyoona picha hii nilijiuliza hawa watoto walikuwa wanacheza mchezo gani ndipo mpiga picha wa kanjanja akawapiga hii picha?aliewapiga picha aliwatengeneza ili apate hii picha au?mmh hata sijui maana watoto nao hasa siku hizi wanampenda Ben 10 ndio balaa unawakuta wanacheza mmoja atajifanya Ben 10, spider man au mwanamieleka John sina.
Image of 50 CENT HOSPITALINI.
Rapper 50 Cent mwenye umri sawa na Afande Sele (Miaka 36) amelazwa hospitali huko Marekani ambapo mshkaji wake wa karibu Dj Drama amesema jamaa anasumbuliwa na tumbo “stomach virus” na sio ishu kubwa sana, bado mipango mingine iko palepale ikiwemo tarehe atakayoiachia mixtape yake mpya ya “The Lost Tape” May 22 mwaka huu.



ONA MASHABIKI NA WACHEZAJI WA SIMBA WANAVYOMLILIA MTESA MAFISANGO
Kiungo wa Simba, Patrick Mafisango ‘Mutesa’, amefariki jana alfajiri katika ajali ya gari iliyotokea katika barabara ya Chang’ombe maeneo ya Chuo cha Ufundi, Veta, jijini Dar es Salaam.
Mtandao huu uliushuhudia mwili wa marehemu ukiwa umetapakaa damu nzito ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mchezaji huyo alipata ajali hiyo akitokea Klabu ya New Maisha kuelekea nyumbani kwake ambapo ndani ya gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Cresta lenye namba za usajili T 387 BMZ kulikuwa na wenzake watatu ambao wote walitoka salama kwenye ajali hiyo




Uhuru Seleman wa Simba akilia kwa huzuni baada ya kufika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Kiungo wa Yanga na mchezaji wa timu ya taifa ya Rwanda, Haruna Niyonzima akiwa na majonzi kwa kifo cha mwenzake anayetokea Rwanda pia.

Rapper Jay Z amejitokeza hadharani na kuwa wa kwanza kuunga mkono kauli iliyotolewa na rais Barack Obama wa Marekani kuhusu kusupport ndoa za jinsia moja. Akiamplfy na CNN, Jigga amesema suala la kutoruhusu ndoa za jinsia moja kwa siku nyingi limekua likibagua uhuru wa watu.
Tamasha kubwa la caribbean beat ambalo linafanyika kesho katika viwanja vya posta ground -Kijitonyama jijini DSM maarumu kwa kumbukumbu ya mhasisi wa reggae hayati ROBART NESTA MARLEY aliyezaliwa mawakla 1945-1981ambapo kwa sasa ni miaka 31 tangu The great Jamaica's most beloved icons Boby Marley passed in a hospital in Miami after battling cancer.
Aliyekuwa Mshiriki wa Big Brother Stargame 2012, Julio Batalia akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mchana huu kuhusu ushiriki wake katika jumba lile la Big Brother

Wednesday, May 9, 2012

HAHAAHATARIIII

GARI LA MFANYABIASHARA MMOJA MKUBWA HAPA NCHINI AMBAYE ANAFANYA BIASHARA ZAKE  ZA NDIZI KUTOKA BUKOBA -DSM

Sunday, May 6, 2012

PYTHON VS CROCODILE

Angalia hapo wote wababe lakini mmoja anakosa msosi na kumezwa kizembe

Friday, May 4, 2012

NYARAKA ZA OSAMA BIN LADEN KUCHAPISHWA LEO

Marekani imechapisha baadhi ya nyaraka zilizokamatwa kwenye maficho ya mwisho ya aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa al Qaida, Osama bin Laden. Nyaraka hizo zinaionyesha al Qaida kama kundi lililozingirwa na kudhoofika.
Nyaraka hizo ambazo ziliwekwa kwenye mtandao Alhamisi, ni sehemu ndogo tu ya zile zilizogunduliwa na Marekani, baada ya wanajeshi wake kumvamia na kumuuwa Osama bin Laden nchini Pakistan mwaka uliopita. Wamefanya makusudi, kuonyesha upande mbaya sana wa al Qaida, kwa sababu kuuawa kwa bin Laden kunachukuliwa na utawala wa Rais Barack Obama kama tukio muhimu kwa usalama wa taifa. Tukio hilo pia ni mada inayopendelewa sana na Rais Obama katika kampeni yake ya kutaka kuchaguliwa tena.

RAIS JAKAYA KIKWETE KUWAJIBISHA MAWAZIRI WALIOKIUKA UTENDAJI KAZI KATIKA WIZARA ZAO

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amewafuta kazi mawaziri waandamizi katika baraza lake la mawaziri. Katika mabadiliko hayo, waziri wa fedha Mustapha Mkullo ni miongoni mwa waliowekwa kando.
Mawaziri wapya waliochukua nafasi mpya kuwapisha walioachwa ni kama ifuatavyo (walioachwa majina kwenye mabano), Waziri wa Nishati na Madini - Profesa Sospeter Muhongo (William Ngeleja), Waziri wa Fedha - Dr William Mgimwa ( Mustapha Mkullo), Waziri wa Uchukuzi - Dr Harrison Mwakyembe (Omar Nundu), Waziri wa Maliasili na Utalii - Khamis Kagasheki (Ezekiel Maige), Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii - Dr Hussein Mwinyi (Dr Haji Mponda) na Waziri wa Viwanda na Biashara - Dr Abdallah Kigoda (Dr Cyril Chami).

PREZZO NDANI YA BBA

Ni superstar wa kimataifa kutoka nchini Kenya "PREZZO" akiwa katika pozi la nguvu tayari katika maandalizi ya shindano kubwa baarani Afrika yanayo julikana kama"Big Brother Africa" yanayotarajia kuanza mwishono mwa wiki hii nchini Afrika ya Kusini.

PUNGA

Ndo matatizo ya kuiga katika sayari ya kizazi cha sasa hivi kweli huyo ameona wanawake wanao vaa bikini wanafaidi sasa mpaka akaamua naye kujalibu au ndo pigo zake

Kanjanja

Hapa kanjanja sasa na glas zangu za kinafiki niko natega bingo ya ukanjanja siunajua tena bahasha nini afu ukijaulizwa stori inatoka lini aaaaaaaa kesho kwenye tttttv aaa gazzzzt aaa rediooooo banaaaa mhuuuuuu wananaona utamuuuuuuu