Tuesday, June 19, 2012

DIAMOND KUMENYA USAFIRI MPYA

Msanii maarufu nchini kunako miondoko ya bongo fleva Diamond platnuzz amemenya usafiri mpya ikiwa ni kuendelea kuudhihilishia uma wa Watanzania kuwa kijana huyu anavuna mpunga mrefu kotokana na kipaji chake baada ya siku chache nyuma kutangaza kumiliki nyumba mbili za kifahali .


 

No comments:

Post a Comment