Monday, June 25, 2012

Police hold Dar bar owner over head in toilet



Kinondoni Regional Police Commander, Charles Kenyela
 
Police in Dar es Salaam have arrested the owner of Bongo Star Bar and Guest House James Isame (50) in Kawe on allegation of possessing a human head believed to be of a person with albinism.
Kinondoni Regional Police Commander Charles Kenyela said in an interview yesterday that the suspect was arrested in Kawe area on Saturday around 20:45 hours after an impeccable source tipped off the police.
“We are interrogating him at Kawe Police Station after finding him with a human head,” he said, adding: “We got the information from our sources…our officers surrounded him immediately…the head was found in his toilet”.
Kenyela said police were still interrogating Isame and information about him had been forwarded to the State Attorney’s Office for further actions.
Attacks on people with albinism have resulted in 78 deaths, hundreds permanently maimed and others psychologically devastated countrywide, particularly in Lake Zone regions of Kagera, Mwanza, Shinyanga and Mara.
Despite many arrests, there have been only 10 trials culminating in a mere 8 convictions, with most suspects left languishing in remand prison instead of being tried in court.
Recently a badly mutilated body of a person with albinism (PWA) was discovered at Nambala village in Kikwe ward, Arumeru district, a move which created fear and dismay among the community in Arusha region.
The body, which was discovered on May 26 2012 by children, was badly mutilated and left without clothes on a stone in the middle of River Nambala.
Attacks on people with albinism have been on the rise because the suspected ringleaders and witchdoctors are often not arrested and therefore don’t fear. Even more perplexing is the fact that people who pay for such horrors to be committed have never been identified in all the reported cases. 

Tuesday, June 19, 2012

DIAMOND KUMENYA USAFIRI MPYA

Msanii maarufu nchini kunako miondoko ya bongo fleva Diamond platnuzz amemenya usafiri mpya ikiwa ni kuendelea kuudhihilishia uma wa Watanzania kuwa kijana huyu anavuna mpunga mrefu kotokana na kipaji chake baada ya siku chache nyuma kutangaza kumiliki nyumba mbili za kifahali .


 

MSIMAMO WANGU WASASA JUU YA KAULIYANGU - JOHN MNYIKA


Nitatoa tamko la kina baadae kuhusu
kilichotokea lakini kwa ufupi ubovu
wa bajeti hii ni matokeo ya udhaifu wa
Rais Kikwete, yeye ndiye aliyesaini
Mpango wa Taifa wa miaka mitano
kama Kiongozi Mkuu wa Nchi tena kwa wino mwekundu kama Amiri
Jeshi Mkuu. Na yeye ndiye Mwenyekiti
wa baraza la mawaziri, bajeti hii
iliyoacha kuzingatia mpango wa Taifa
imepita kwenye baraza alilloliongoza,
pia kushindwa kutekelezwa kwa bajeti iliyopita ni matokeo pia ya
udhaifu wa taasisi ya Urais. Pia kwa mujibu wa Katiba Rais ndiye
ambaye anapeleka bajeti bungeni,
Waziri mwenye dhamana anapeleka tu
kwa niaba. Rais amepewa mamlaka
makubwa juu ya bajeti ibara ya 99
imeweka mipaka kuhusu mambo ambayo bunge lina mamlaka nayo
huku ibara ya 90 inasema bunge
likikataa bajeti rais ana mamlaka ya
kuvunja bunge. Hivyo Rais Kikwete
anapaswa kuagiza Waziri wa Fedha
bajeti iondolewe irudi kwenye baraza la mawaziri ikafanyiwe marekebisho!

Sunday, May 27, 2012

KANISA LA TAG ZANZABAR LACHOMWA MOTO KATIKA VURUGU ZILIZOTOKEA USIKU WA KUAMKIA JANA






 Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) liliopo mtaa wa Kariakoo mjini Unguja limechomwa moto jana usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana

POLOSI WAKITAWANYA WANDAMANAJI



Kikosi cha Kuzuwia Fujo FFU kikizunguka kikiwa kimejihami katika maeneo ya Michenzani ambapo tayari jeshi la polisi limepiga marufuku mikusanyiko yoyote Mjini hapa

WASIWASI mkubwa umetanda kwa siku ya pili mfululizo katika mitaa ya miji ya Zanzibar baada ya askari wa jeshi la polisi kupiga mabomu ya kutoa machozi ili kuwatawanya wafuasi wa taasisi za kidini zinaozongozwa na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI).

MANDAMANO ZNZ KUZUA TAAFULANI USIKU WA KUAMKIA JANA




Maelfu wa wazanzibari wakiongozwa na Taasisi za Kiislamu na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) wakifanya matembezi ya amani katika barabara za Zanzibar na kupeleka ujumbe wao kwa viongozi wa serikali za Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Umoja wa Mataifa wakitaka Zanzibar huru ambapo baadhi ya watembeaji hao wakiongoza na Kiongozi wa Jumuiya hizo, Sheikh Farid Hadi Ahmed na viongozi wengine
Maelfu ya wazanzibari leo wamefanya maandamano amani kuishindikiza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuitisha kura ya maoni juu ya Muungano na kupeleka ujumbe kwa Umoja wa Mataifa wa kutaka Zanzibar kujitenga kama ilivyofanya Sudan ya Kusini

Friday, May 18, 2012

Image of PICHA ZINGINE HAAHAHAH

Nilivyoona picha hii nilijiuliza hawa watoto walikuwa wanacheza mchezo gani ndipo mpiga picha wa kanjanja akawapiga hii picha?aliewapiga picha aliwatengeneza ili apate hii picha au?mmh hata sijui maana watoto nao hasa siku hizi wanampenda Ben 10 ndio balaa unawakuta wanacheza mmoja atajifanya Ben 10, spider man au mwanamieleka John sina.