Wednesday, April 25, 2012

WASANII MABOROZI WAZURI WA MALARIA TANZANIA

Wasanii nchini kunako miondoko ya bongo fleva wameonekana kuleta mapinduzi makubwa katika kukabiliana na janga la ugonjwa wa maralia nchini,ikiwa wajikita zaidi katika uhamasishaji jamii sambamba na kubadilisha dhana ambazo zilikuwa zikijengeka jakatika jamii kuhusu matumizi ya vyamdarua.

No comments:

Post a Comment